Sunday, March 29, 2015

Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine



Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
 1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima  80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
  
 Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo  Ndani ya Week Moja..
 Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
  
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi

BAADHI YA PICHA ZIKIONYESHA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO – IMETOSHA


1
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr, Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu, Mwakilishi wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Abdillah Omar sambamaba na wadau wengine wakishiriki kuimba wimbo ‘Tanzania Tanzania’ kabla ya kuanza kwa shughuli nzima ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini, iliyofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es salaam.
Picha zote Othman Michuzi
10
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akisoma hotuba yake.
8
Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr akicheza muziki wa sambamba na Mwanamuziki wa Reggae,Jhiko Manyika “Jhikoman” wakati wa shughuli nzima ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini, iliyofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es salaam.Kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network ambao ni wadau wakubwa wa harakati ya Imetosha, Joachim Mushi.
9
- Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Matembezi ya Hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini (Imetosha), Ally Masoud “Kipanya” akimkaribisha Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu ili kuzungumza na Watanzania waliofika kwenye Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam leo.
234567

WAKAZI MIKOCHENI B WAFANYA USAFI WA MAZINGIRA


???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akishiriki usafi wa mazingira katika Mtaa wa Mlalakuwa na wakazi wa Mtaa huo wakati wa operesheni maalum ya kuweka safi mazingira.
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia) akimsikiliza kwa makini Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mlalakuwa, Abraham Shoo (kushoto) wakati wa operesheni maalum ya kusafisha mazingira katika Kata za Manispaa hiyom Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, Nicodemus Masika.
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (wa tatu kushoto) akiongozana na watendaji na wakazi wa Mtaa wa Mikocheni B wakati wa opresheni ya usafi katika Kata hiyo.
?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni akioneshwa sehemu mbalimbali za Mto Mlalakuwa wakati wakiufanyia usafi.
??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni akiongozana na wakazi wa Mtaa wa Mikocheni B, katika bonde la Mto Mlalakuwa wakati wakifanyia usafi mto huo.
????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiwa kwenye picha ya pamoja na wakazi wa Kata ya Mikocheni B baada ya kumaliza kufanya usafi katika mto Mlalakuwa.
?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (wa pili kulia) akikabidhi viroba kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mikocheni B, Sixbert Thomas kwa ajili ya kuzuia maporomoko ya ardhi katika Mto Mlalakuwa, wakati wa operesheni hiyo.
????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia) akimsikiliza kwa makini Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mlalakuwa, Abraham Shoo (kushoto) wakati wa operesheni maalum ya kusafisha mazingira katika Kata za Manispaa hiyom Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, Nicodemus Masika.
………………………………………………………………………………
Na Fadhili Akida,
MPANGO wa kuweka safi mazingira ya jiji la Dar es Salaam utafanikiwa tu iwapo viongozi na watendaji watatekeleza mpango huo kwa vitendo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa operesheni maalum ya kusafisha maeneo mbalimbali ya Kata ya Mikocheni, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema umefika wakati sasa viongozi kchukua hatua za makusudi za kuhakikisha mkakati wa kuweka safi jiji unafanikiwa kwa kuwashirikisha wananchi wao kwa vitendo.
Mwenda alithibitisha hilo kwa vitendo wakati alipojumuika na wananchi mbalimbali wa Mtaa wa Mikocheni B, Manispaa ya Kinondoni kusafisha maeneo mbalimbali ya Mtaa huo ikiwemo sehemu za mto Mlalakuwa na kuwahakikishia wananchi wake kuwa hilo litakuwa zoezi endelevu ili kuhakikisha kila mwananchi anahamasika na kuweka safi mazingira yanayomzunguka.
“Kinondoni imekuwa Manispaa ya kuigwa katika suala la usafi, na hili tunalitekeleza kwa kujumuika na wananchi wenzangu kwa ajili ya kusafisha maeneo mbalimbali na leo tupo Kata ya Mikocheni B. viongozi wanatakiwa waoneshe wananchi wao kwa vitendo, nao watahamasika .” alisema Mwenda.
Meya huyo alilishukuru shirika la Kimataifa la misaada la Ujerumani (Giz) kwa kutoa msaada wa vifaa vya kufanyia usafi kwa Manispaa yake na kuwataka wananchi waendeleze moyo waliokuwa nao ili kuhakikisha Manispaa hiyo inaendelea kuwa katika hali yake ya usafi kila siku.
Hata hivyo alitoa onyo kwa wananchi wenye tabia ya ubinafsi wa kuzuia maji kufuata mikondo yake kuacha mara moja kwani kwa kufanya hivyo watasababisha maji hayo kwenda kwa wengine na kuleta mafuriko.
Kwa upande wao wananchi wa Kata hiyo walisema wamehamasika na zoezi hilo na watahakikisha linakuwa endelevu na kutoa wito kwa wengine kuwaunga mkono na kujumuika nao wakati wa opresheni hizo.
“Operesheni ni nzuri, imetuhamasisha, tunatoa wito kwa wenzetu wengine wanaojifungia milango kujumuika na sisi kwani usafi unamuhusu kila mmoja wetu. Ukiishi katika mazingira safi hutaugua maradhi ya mara kwa mara na utafanya shughuli zako ukiwa na afya nzuri. Walisema wakazi hao.

DK.SHEIN AWAANDALIA CHAKULA VIJANA WA HAKALIKI NA VIKOSI VYA ULINZI.


1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiweka chakula alichowaandalia Askari wa Vikosi vya Ulinzi Zanzibar vilivyoshiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar hafla hiyo ilifanyika jana katika kambi ya JWTZ Migombani Wilaya ya Magharibi Unguja (kulia) Mkuu wa Kikosi cha 101 Kj Zanzibar Brigedia Generali.
2
Baadhi ya Viongozi mbali mbali waliolikwa katika chakula kilichowaandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa Askari wa Vikosi vya Ulinzi Zanzibar vilivyoshiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar hafla hiyo ilifanyika jana katika kambi ya JWTZ Migombani Wilaya ya Magharibi Unguja.
3
Kamishna wa Kikosi cha Zima Moto Zanzibar Ali Abdalla Maalim Ussi akiagana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein baada ya kumalizika hafla ya chakula cha mchana kwa Askari vikosi vya Ulinzi  vilivyoshiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar haflailiyofanyika kambi ya JWTZ Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,
4
Makamanda wa vikosi mbali mbali vya Ulinzi Zanzibar wakiwa katika sherehe ya Chakulacha mchana 
kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa vikosi hivyo 
vilivyoshiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar hafla hiyo ilifanyika jana katikakambi ya JWTZ Migombani Wilaya ya Magharibi Unguja.
5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Kikosi cha JWTZ 101 Kj Zanzibar Brigedia Generali Muhaiki baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula kilichoandaliwa kwa Askari wa Vikosi vya Ulinzi Zanzibar vilivyoshiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar   jana katika kambi ya JWTZ Migombani Wilaya ya Magharibi Unguja.
6
Baadhi ya Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakichukua Chakula  katika hafla ya iliyoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) mara alipowasili katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo katika sherehe za hafla ya chakula maalum kwa Vijana walioshiriki Halaiki ya sherehe za Maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,
9
Baadhi ya Vijana walioshiriki Halaiki ya sherehe za Maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakiwa katikahafla ya chakula maalum iliyoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo
10
Hawa ni miongoni mwa Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakiwa katika hafla ya chakula kilichondaliwa kwa ajili yao na 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo
11
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitia chakula wakati wa hafla maalum ya chakula aliyowaandalia Vijana walioshiriki katika Halaiki ya sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar iliyofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja,
1314
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akiagana na Viongozi waliohudhuria katika hafla ya chakula kilichoandaliwa kwa Vijana walioshiriki  Halaiki katika Sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar hafla hiyo ilifanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja.
[Picha na Ikulu.]

Tuesday, November 26, 2013

Hatimaye Serikali yabariki TANESCO kupandisha bei za umeme....Naibu waziri asema "atakayeshindwa kumudu gharama hizo, atumie kibatari..."


Naibu Waziri wa umeme, Mh George Simbachawene, amesema kwamba serikali imekubali TANESCO waongeze gharama za umeme kwa 68% kama walivyokuwa wameomba.
  


Simbachawene ameitoa  kauli hiyo wakati akiongea katika kipindi cha Kumepambazuka kupitia Radio One leo asubuhi. 



Amesema kwamba hata kama TANESCO wakiongeza gharama za umeme hadi kufikia Tsh 800 kwa unit bei hiyo ni nafuu kuliko gharama za kununua mafuta ya taa.

Mh Simbachawene ametahadharisha kwamba kama mtu ataona kwamba gharama za umeme ni kubwa, basi akawashe kibatari au akae gizani.

Source: Jamiiforum  via Kumepambazuka, Radio One.

Read more: http://habarizetuleo.blogspot.com/2013/11/hatimaye-serikali-yabariki-tanesco.html#ixzz2lj0RL8aL

Friday, November 15, 2013

Hii ndio TV inayouzwa MILIONI 75 Mlimani City Dar es salaam, kuna picha na sifa zake pia



103
Niliwahi kuuliza kwa watu wa nguvu shilingi milioni 75 wakipata watatumia kwenye nini?, majibu ya wengi yalikua ni kujenga nyumba na kununua gari huku wengine wakisema watawekeza kwenye biashara.
Sasa basi, pamoja na hiyo milioni 75 kuonekana inaweza kufikiriwa kufanya mambo hayo makubwa ya kimaisha… imefahamika kiwango hicho cha pesa kinaweza kuishia kwenye kununua TV moja tu hii mpya ya Samsung ya inch 85 na usirudishiwe chenchi.
millardayo.com ilipotembelea duka lao Mlimani City, imeambiwa TV hii ina vitu vingi vya kipekee ikiwemo kutumia ishara ya mkono, sauti, na sura kufanya setting mbalimbali ikiwemo kupunguza sauti badala ya kutumia remote.
104
Smart contents mfano Instagram, twitter, facebook na apps nyingine mbalimbali ambapo unaweza kutumia Internet kuwasiliana kwenye mitandao mbalimbali kama vile skype ambapo mnaweza kuonana zaidi ya watu watatu kwa wakati mmoja.
Ina music system yenye mziki mzito hapohapo hivyo ukiwa nayo huna haja ya kununua home theatre, pia faster speed squad core processor.
Digital tuner unaweza kupata local free channels zaidi ya 40 bila decorder na ukitaka channel za kulipia utatumia smart card ambayo unaiweka kwenye smart card slot nyuma ya TV yako.
Vilevile ukiwa na samsung smart phone unaweza kuiunganisha na TV ukaplay videos, music video games kutoka kwenye simu yako.
105

CHANZO CHA HABARI :millardayo.com

HII NDIO LIST MPYA YA MATAJIRI AFRIKA. WATANZANIA WAPO WANNE. ICHEKI HAPA




Mtandao wa Forbes maarufu kwa kutoa taarifa kama hizi, umetoa list mpya ya matajiri 50 kutoka Africa na kuhusisha vyanzo vya pesa zao, umri wao pamoja na kiasi cha pesa wanachomiliki.
1
List imeongozwa na Mnigeria Aliko Dangote (kwenye picha hapo juu) na mtanzania wa kwanza ameonekana kwenye namba 27 akiwa na utajiri wa dola bilioni moja. Cheki list yote hapa.
Watanzania hawa wanne ni Rostam Aziz kwenye namba 27, Reginald Mengi namba 34, Bakhresa namba 38 na Mohammed Dewji namba 38.



2
3
4
5

Wednesday, November 13, 2013

HII NDIO LIST YA MATAJIRI WALIOFANIKIWA KUTOKANA NA BIASHARA YA MTANDAO(NETWORK MARKETING)

WW Rank Name Company Est. Month Est. Year
1 Holton Buggs OrganoGold $1,200,000 $14,400,000
2 Angela Liew and Ryan Ho NuSkin $1,100,000 $13,200,000
3 Dexter & Birdie Yager Amway $1,000,000 $12,000,000
4 Shane Morand OrganoGold $1,000,000 $12,000,000
5 Jose Ardon OrganoGold $700,000 $8,400,000
6 Barry Chi & Holly Chen Amway $650,000 $7,800,000
7 Peggy Britt Amway $500,000 $6,000,000
8 John Sachtouras OrganoGold $465,000 $5,580,000
9 Brian McClure Ambit $452,000 $5,424,000
10 Abraham Benitez and Raquel Cortez Herbalife $450,000 $5,400,000
11 Christian Steinkeller OrganoGold $450,000 $5,400,000
12 Foo Howe Kean & Jenny Ko Amway $450,000 $5,400,000
13 George Zalucki & Art Napolitano ACN $400,000 $4,800,000
14 Sunny Hsu & Debra Hsieh Amway $400,000 $4,800,000
15 Enrique and Graciela Varela Herbalife $395,000 $4,740,000
16 Steve Thompson Ambit $370,000 $4,440,000
17 Ashley and Nick Sarnicola ViSalus $350,000 $4,200,000
18 Carol & Ken Porter Monavie $350,000 $4,200,000
19 David Wood and David Sharpe EmpowerNetwork $350,000 $4,200,000
20 Jim & Nancy Dornan Amway $350,000 $4,200,000
21 Max Schwarz Amway $350,000 $4,200,000
22 Tae Ho Kim Herbalife $350,000 $4,200,000
23 Vick Strizheus EmpowerNetwork $340,000 $4,080,000
24 Philip Eckart Ambit $324,000 $3,888,000
25 Kaoru Nakajima Amway $300,000 $3,600,000
26 Minh and Julie Ho TalkFusion $300,000 $3,600,000
27 Peter & Eva Muller-Meerkatz Amway $295,000 $3,540,000
28 Rafael Rojas Melaleuca $280,000 $3,360,000
29 Leonard & Irina Weisbein Herbalife $275,000 $3,300,000
30 Seung Ja and Young Ho Kang Park Herbalife $265,000 $3,180,000
31 Dong Keun Chung Herbalife $255,000 $3,060,000
32 Luis & Angela Ventura OrganoGold $251,000 $3,012,000
33 David Imonitie OrganoGold $250,000 $3,000,000
34 John Peterson Herbalife $250,000 $3,000,000
35 Kang Hyeon Sook & Ryu InIk Amway $250,000 $3,000,000
36 Leonard & Esther Kim Amway $250,000 $3,000,000
37 Mark Lei & Peggy Yeh Amway $250,000 $3,000,000
38 Vjacheslav Ushenin TalkFusion $250,000 $3,000,000
39 John and Lori Tartol Herbalife $240,000 $2,880,000
40 Susan Peterson Herbalife $240,000 $2,880,000
41 Jeff Roberti Juiceplus $230,000 $2,760,000
42 Carol and Alan Lorrenz Herbalife $220,000 $2,640,000
43 Lita & Brig Hart Monavie $220,000 $2,640,000
44 Simon Abboud ACN $215,000 $2,580,000
45 Calvin Becerra Monavie $210,000 $2,520,000
46 Gina & Steve Merritt Monavie $210,000 $2,520,000
47 Nathan Ricks NuSkin $210,000 $2,520,000
48 Jeremy Miner WMI $205,000 $2,460,000
49 Aron Steinkeller OrganoGold $200,000 $2,400,000
50 David Moses Zija $200,000 $2,400,000                               WEWE KAMA MTANZANIA UNASUBIRI NINI KUANZA KUFANYA NETWORK MARKETING? MUDA WAKO WA ZIADA KUWA NA UJASIRI WA KUFANYA BIASHARA HII KWANINI HAINGILIANI NA KAZI YAKO. 0713354389 ATAKUSAIDIA KATIKA HII BIASHARA.

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine