Tuesday, February 5, 2013

MSANII BUIBUI APATA AJALI


msanii Buibui apata ajali weekend hii, na kuvunjika mguu wa kulia na kuteguka mguu wa kushoto.kwa hivi sasa amesharuhusiwa kutoka hospitali aliyokuwa amelazwa, Muhimbili... pole sana
Msanii Buibui apata ajali weekend hii iliyopita, na kuvunjika mguu wa kulia na kuteguka mguu wa kushoto.kwa hivi sasa amesharuhusiwa kutoka hospitali aliyokuwa amelazwa, Muhimbili... pole sana

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine