Wednesday, October 12, 2011

LINEX AFIWA NA BABU YAKE



Time hii nimepokea SMS kutoka kwa MDAU MMOJA WA HABARI ZA UDAKU ikisema kuwa msanii Linex. "amempoteza babu yake mida ya saa 21:22 jana". blog hii inakupa pole, sana na mungu akuongoze katika wakati huu mgumu. Mungu ailaze pema roho ya marehemu. AMEN

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine