Ni kwamba jana mchana Mrembo huyo ambae aliwahi kuwa mpenzi wa zamani wa producer P FUNK MAJANI amepelekwa kwenye gereza la SEGEREA Dar es salaam kutokana na kesi inayomkabili yeye na mume wake.
Rafiki wa karibu wa KAJALA mwigizaji SINTAH amesema “nilichosikia ni kwamba alikua kaolewa na mwanaume ambae ana kesi na TAKUKURU kwa kutumia hela vibaya kwenye shirika la Umma ambapo Kajala amehukumiwa tayari lakini hukumu kubwa ambayo itaweka wazi ni miaka mingapi atakayohukumiwa Kajala inatolewa jumatatu march 19 2012”
0 comments:
Post a Comment