Wednesday, July 20, 2011

MISS KINONDONI MWENYE KIPAJI ASAKWA.

PICHA HAPO CHINI : Husna Maulid akionyesha umahiri wake wa kucheza muziki wa Congo



WAREMBO 13 ambao siku ya Jumamosi ijayo watawania taji la Miss Kinondoni, usiku wa kuamkia leo walichuana kuwania taji la Mrembo Mwenye Kipaji.  Mchuano huo ulifanyika  Giraffe Ocean View Hotel iliyopo Kunduchi ufukweni mwa Bahari ya  Hindi jijini Dar es Salaam.


PICHA HAPO JUU : WAREMBO WALIO FANIKIWA KUINGIA KWENYE TANO BORA

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine