Wednesday, August 24, 2011

IKULU YAMSAFISHA JAIRO


  Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo.
ASEMA NI KAWAIDA IDARA HUSIKA KUCHANGA FEDHA KUISAIDIA KUFANIKISHA JAMBO, AONYA WATUMISHI WALIOTOA SIRI

IKULU imemrejesha kazini Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo baada ya uchunguzi wa tuhuma dhidi yake za kutenga mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kuhonga wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara hiyo, kubainika kuwa si za kweli.Katibu Mkuu Kiongozi, Phillemon Luhanjo alitangaza uamuzi huo katika mkutano wake na waandishi uliofanyika Ikulu Dar es salaam 
jana akisema JAIRO hana hatia na leo anapaswa kurejea kazini mara moja.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine