MSANII wa filamu Bongo, Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ (pichani) anayedaiwa kuwa ni mjamzito, juzikati alikuwa akijificha asipigwe picha na paparazi wetu kuhofia kuonekana kwa mimba yake.
Msanii huyo aligoma kupigwa picha akiwa amesimama huku akikwepa kuonekana kwa tumbo lake.
“Sitaki tumbo langu lionekane na sipendi watu wajue kama nina mimba au la, ila Watanzania watarajie mtoto haraka…
0 comments:
Post a Comment