
Refa akikimbia kichapo baada ya kutoa kadi nyekundu nyingine kwa wachezaji wa Yanga ambao mpaka mpira unamalizika, walichapwa 3-1 na AZAM.

Baadhi ya viti vilivyovunjwa.

Baadhi ya mashabiki wa Yanga wanaodaiwa kuhusika na hizo fujo. (picha kutoka kwenye blog ya Dina Ismail - mamapipiro)

Ustaarabu haukuepo kabisa, mashabiki wa Yanga wanadaiwa kukojoa mpaka kwenye sehemu za kunawia mikono.
0 comments:
Post a Comment