Wananachuo hao wakielekea ofisi ya mkuu wa mkoa Mbeya.
WANACHUO wanaosoma katika Chuo cha Teofilo Kisanji (TEKU) kinachomilikiwa na Kanisala la Moravian Tanzania, kilichopo Jijini Mbeya, jana waliandamana mpaka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kueleza yanayowapata baada ya kukosa mikopo yao.
0 comments:
Post a Comment