Monday, November 28, 2011

EXCLUSIVE: KOCHA MPYA WA SIMBA MILOVAN CIRKOVIC ALIPOWASILI BONGO JANA

Baada ya kuwasili nchini, kocha Mserbia Milovan Cirkovic akilakiwa na katibu mkuu wa klabu ya Simba Evodius Mtawala kulia, na mwenyekiti wa kamati ya Ufundi ya klabu hiyo Ibrahim Masoud "Maestro" na wa mwisho kushoto ni Jerry Yambi mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine