Friday, February 24, 2012

MASTAA WA NIGERIA WANAVYOTAMBA NA MAGARI YAO!

Mtandao maarufu wa Nigeria wa Bella Naija, umeandika kwamba kila wiki huwa wanapokea email kutoka kwa mwanamuziki au muigizaji ambae amenunua gari jipya, ni email ambazo huambatana na picha ambapo mastaa wengi bado wanapenda kununua gari aina ya Range Rover.

 

Hii ndio Porsche Cayenne ya Mchezaji wa timu ya taifa na Rubin Kazan ya Russia Obafemi Martins
Hii ni Bentley mpya ya mkali wa muziki Timaya.
Chrysler 300 ya mwanamuziki W4.
 from MillardAyo

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine