Tuesday, February 7, 2012

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAMACHINGA JIJINI MWANZA.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wawakilishi wa kundi moja la wachuuzi (Machinga) wa jijini Mwanza ambao leo Februari 6, 2012 walikwenda Ikulu ndogo ya jiji hilo na kumweleza changamoto zinazowakabiri, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa mitaji pamoja na taaluma ya kufanyia biashara. Rais Kikwete ametoa shilingi milioni 10 kwa ajili ya Wamachinga hao kukopeshana mitaji.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine