Thursday, July 14, 2011

ISHA MASHAUZI, KHADIJA KOPA WAPAGAWISHA WABUNGE DODOMA.

WAIMBAJI mahiri wa muziki wa taarabu nchini, Isha Ramadhani (Mashauzi) na ‘Malkia wa Mipasho’, Khadija Omary Kopa, wiki iliyopita waliwapagawisha wabunge mjini Dodoma katika sherehe ya ‘Kitchen Party’  ya dada wa Mh. Catherine Magige (Mbunge wa CCM), aitwaye Jacqueline Mjelwa, iliyofanyika katika ukumbi wa African Dreams. 


Mh. Magige (katikati) akiingia ukumbini na mama yake mzazi.

Isha Mashauzi (kulia) akicheza kiduku na mama yake. 

 Isha Mashauzi (kulia), mama yake (katikati) na MC Kide wakifanya mambo yao. 

 Wabunge katika picha ya pamoja.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine