MAZISHI ya aliyekuwa meneja wa bendi ya Fm Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Boniface Kasanju ‘Bonny Manjonjo’, yaliyofanyika jana katika makaburi ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, yaligubikwa na vilio na majonzi kwa waombolezaji waliohudhuria.
Ibada ya kuaga mwili wa marehemu ilifanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Magomeni ambapo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wanamuziki, wanamichezo, mashabiki, ndugu jamaa na marafiki.
Mwili wa marehemu Boniface Kasanju ukiwa kanisani wakati wa kuagwa
Watoto wakiaga mwili wa baba yao.
0 comments:
Post a Comment