Monday, July 18, 2011

MISS TEMEKE APATIKA USIKU WA KUAMKIA LEO.



Pichani juu: Miss Temeke 2011 Husna Twalib (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Cynthia Kimasha (Kushoto) na mshindi wa tatu Mwajabu Juma mara baada ya kutangazwa matokeo.
MREMBO Husna Twalib, usiku wa kuamkia leo aliibuka na kutwaa taji la Miss Temeke 2011 katika kinyang’anyiro kilichofanyika ukumbi wa TCC Club uliopo Changombe jijini Dar es Salaam ambapo Cynthia Kimasha alishika nafasi ya pili na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Mwajabu Juma. Washindi hao watatu  wamepata nafasi ya kujiunga katika kambi ya Miss Vodacom Tanzania ambayo inatarajiwa kuanza mwanzoni wa mwezi Agosti mwaka huu.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine