WAREMBO wanaotarajiwa kushiriki shindano la kumsaka Miss Ilala linarotarajiwa kufanyika Julai 29 mwaka huu, leo wamepima virusi vya Ukimwi katika ofisi za AMREF zilizopo Makao Makuu ya Chama cha Msalaba Mwekundu nchini Upanga jijini Dar es Salaam.
WAREMBO wanaotarajiwa kushiriki shindano la kumsaka Miss Ilala linarotarajiwa kufanyika Julai 29 mwaka huu, leo wamepima virusi vya Ukimwi katika ofisi za AMREF zilizopo Makao Makuu ya Chama cha Msalaba Mwekundu nchini Upanga jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment