Saturday, October 29, 2011

DIAMOND NA WEMA SASA WANACHEZEA AKILI ZA WATU.!!!


Baada ya kutangaza kuwa wameachana siku chache zilizopita,wasanii Diamond na Wema sepetu inasemekana kuwa wamerudiana,hii ni baada ya media mbalimbali kulipoti habari leo hii kutoka kwa watu wa karibu wa wawili hao kwamba wako pamoja.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine