Monday, March 5, 2012

SIMBA 2-1 KIYOVU: FULL TIME

Mashabiki wa wekundu wa msimbazi wakishangilia kwa furaha baada ya felix sunzu kupachika bao la pili hiyo jana katika uwanja wa TAIFA jijini DAR ES SALAAM. Mabao yoyote mawili yaliwekwa kambani na mshambuliaji hatari wa SIMBA FELIX SUNZU akipata pasi safi kutoka kwa EMMANUEL OKWI.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine