Friday, May 11, 2012

2 FACE IDIBIA AFUNGA NDOA NA ANNA MACAULAY.


 
 

Wengi tunamfahamu kwa kazi zake mzuri za music kutoka pale Nigeria,anajulikana kama 2 Face Idibia ambaye aling'ara kwenye ile ngoma ya one 8 ya mwanamuziki R kelly ameamua rasmi kuachana na tabaka la ubachela na kufunga pingu za maisha. Ndoa hiyo iliyofungwa siku ya ijumaa ya wiki iliyopita mwanamuziki huyo aliweza kumvalisha rasmi pete ya uchumba aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu na mama wa mtoto wake mmoja Bi. Anna Macaulay ikifuatiwa na hafla kubwa iliyofanyika nyumbani kwake, Wanandoa hao tayari wana mtoto mmoja wa kike anayeitwa Isabella.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine