Friday, May 11, 2012

BATA DAILY RIHANNA CHALI KUDADEKIIII!!!.




Mwanadadiva Rihanna a.k.a Riri "Where have you been" singer, juzi Jumatatu alipelekwa hospitalini ghafla baada ya kupata “Flu” kali sana pamoja na mwili kuwa na uchovu kutokana na bata analokula kila siku, Rihanna alipofikishwa hospitali awekewa na drip ya maji baada ya kugundulika kuwa hana maji mwilini ambako kunasababishwa pia na kutopata muda wa kupumzika.


 Riri alitweet picha ya mkono wake ukiwa na drip, rafiki zake kwenye tweet walishangaa niaje mbona Rihanna atweet kwa muda mrefu coz kila minute counts Riri amezoeleka anatweet kitu. Mwaka jana alipelewa tena hospitali akiwa katikati ya tour yake.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine