Kiingilio cha chini katika
mchezo huo kinatarajiwa kuwa sh.5,000 kwa watakaokaa jukwaa la kijani bluu,
wakati kiingilio cha juu kitakuwa shilingi 40,000 kitakachohusisha mashabiki
watakaokaa jukwaa la VIP A.
Mashabiki watakaokaa VIP B watalipa sh.30,000, VIP C
shilingi 20,000 huku watakaokaa jukwaa la orange watalipa shilingi 10,000.
0 comments:
Post a Comment