skip to main |
skip to sidebar

8/30/2012 06:17:00 PM

Unknown
No comments

Hawa
Ngulume afariki dunia Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya
za Kinondoni, Mbarali na Bagamoyo, Mama Hawa Ngulume amefariki dunia
leo asubuhi Jijini Dar es Salaam kwani Mama Hawa Ngulume alikuwa
akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.....Mwenyezi Mungu aipumzishe roho
ya marehemu mahali pema peponi, Amina.
0 comments:
Post a Comment