skip to main |
skip to sidebar

9/22/2012 06:27:00 PM

Unknown
No comments
Kocha
Mkuu wa Newcastle Alan Pardew amekiri mshambuliaji wa kimataifa wa
Senegal na mfungaji bora wa timu hiyo msimu uliopita Demba Da huenda
akaondoka mwezi January kwa kitita cha pauni milioni saba. Mshambuliaji
huyo mwenye umri wa miaka ishirini na saba amekiri kutokuwa na raha
kutokana na kutokuwepo kwenye kikosi cha kwanza cha Newcastle United
katika msimu huu.
Pardew amesema
kulingana na kifungu ambacho kipo kwenye mkataba wa Demba Ba kinatoa
nafasi kwa mshambuliaji huyo kuondoka mwishoni mwa mwezi january kama
mambo yataenda tofauti.
0 comments:
Post a Comment