Saturday, September 22, 2012

Maisha Plus audition ni Jumatatu hii DAR ES SALAAM



Think you've got what it takes to be Maisha Plus latest, greatest reality star? Well nafasi ya mwisho ya kuaudition kwa ajili ya kushiriki shindano hili itafanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumatatu, Septemba 24 pale Millenium Tower, Kijitonyama.
Wale waliochukua fomu na ambao bado hawajachukua, wafike Millenium Tower ghorofa ya kwanza waulizie KP Shop.

Kwa wale wenye ndoto ya kushiriki katika shindano hili mwaka huu, Jumatatu ndio itakuwa siku ya mwisho kujaribu bahati yao kwani ukiikosa itabidi usubiri mpaka mwakani.

Kwa wapenzi wa shindano hili stay glued to TBC1 kwasababu soon burudani itakufuata sebuleni kwako.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine