
kudadadadeki mmmmh haaa angekuwa mwanafulenge
ktk hii stage mamaaaa sisemi
ila haya maisha hayagusiii hata robo
sijamtaja mtu mjuwe eeeeh

simple Zari

nadhani unalijuwa aina ya gari
hapa bongo analo naniiiiii??
my sweet lovie Delina ze don asiyejionyesha

ooooh lovely

haaaaa watu hawazungumzi wanatenda bana
kudadadeki hotel ya zari inakuja +256

watu wenye mikwanja yao huwa hawaongei
sanaaaa ni vitendo tuuu

huyu ndiye Diva wa EA
wengine tubaki tukiongea tu
yeye anaonyesha matendo

the bosslady

amechoka kuhama hama ktk nyumba zake
hii anakodisha na full furnished apartment

haaaaaaa nyumba ya kijijini kwao
ngoja niseme full stop
ngoja niweke mshangao? kwa wale wanaojiita wanapesa
aiiiii wewe pesa ipo huku kwa Mrs Ivan Semwaga
utajibebaaaa
Muacheni Mungu aitwe Mungu jamanii?? hivi wengine tunao wajua sisi wangekuwa na maisha haya ingekuwajeee?? aisee Mungu anajua nani ampe na nani amnyime basiii inatoshaaa,,,,, basi uache kuwaumiza watu kwani wenye vijiba vya roho wanakomajeee?
Ms Zari hauna mpinzani ujue wengine ni hashuo tu i cant wait ukija Dar utaendelea kuw boss Lady na hakunaga East Africa
je umeshawahi kumuona Zari akimuanika mumewe hovyo??NO,,,,, watoto?NO
basi juwa masikini akipata matako hulia mbwataaaaaaaaaaa.
Tunaongea na mwenye mbwa na hatuongei na mbwa kama wewe unalishwa sie wa nini?? tunaongea na hustla n the street
CHANZO CHA HABARI: KUTOKA SINTAH.COM:
0 comments:
Post a Comment