Umati
wa watu wakiwemo waliokuwa wateja wa Desi waliofika mahakamani hapo
kujua hatima ya fedha walizopanda wakitoka nje ya mahakama baada ya
kuambiwa hawana chao.Kesi hiyo ambayo imeunguruma kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar takribani miaka minne, kupitia kwa hakimu wake, Aloyce Katemana ilitoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa upande wa utetezi na Jamhuri. Vilevile kwa wale wote waliopanda katika taasisi hiyo wote wameonekana kutenda kosa, hivyo hawana chao.
(PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)


8/20/2013 08:04:00 AM
Unknown






0 comments:
Post a Comment