Hivi unajua kuwa mankamua ameshajiachia kwenye lebal ya mj record kwasasa anafanya mazungumzo na studio moja ambayo ikiafikiana nae habari mtazipata hapahapa . Hivi unajua kuwa blackburn rover's wanajaribu kuongea na ronadino gaucho ili anguke saini yake kwenye timu hiyo hadi tunaingia kwenye mitambo bado issue ilikuwa inaendelea huko mbele.


1/06/2011 07:41:00 PM
Unknown
0 comments:
Post a Comment