Thursday, January 6, 2011

NIsiku nyingine tena watu wangu .

Hivi unajua kuwa mankamua ameshajiachia kwenye lebal ya mj record kwasasa anafanya mazungumzo na studio moja ambayo ikiafikiana nae habari mtazipata hapahapa .                                                               Hivi unajua kuwa blackburn rover's wanajaribu kuongea na ronadino gaucho ili anguke saini yake kwenye timu hiyo hadi tunaingia kwenye mitambo bado issue ilikuwa inaendelea huko mbele.

0 comments:

Post a Comment

 
Design by Uplink Servers Technology | Bloggerized by Kwetu Bongo Online Magazine